Vyakula vya vitamini c
- Pera
- Pilipili
- Papai
- Chungwa
- Limao/ndimu
- Zabibu
- Nanasi
- Fenesi
- Kabichi
- Embe
- Nyanya
- Tunguja
- Palachichi
- Kitunguu
- Karoti
- Epo
Tofauti na mboga za majani na matunda ya uchachu na yenye rangi ya njano pia tunaweza kupata vitamini C kwa kula maini, maziwa na mayai. Pia unaweza kupata vitamini C kwa kumezaa vidonge vya vitamini C.